
• Watumiaji bilioni 3 kwa mwezi
• Mtandao namba 3 duniani, nyuma ya Facebook na YouTube pekee
• Thamani zaidi ya dola Bilioni 500 (sawa na trilioni 1,238 za Kitanzania)
Instagram si tena mtandao wa picha pekee, ni himaya ya kijamii na kiuchumi.
Kupitia Instagram channel ya META mmiliki wa mtandao huo, Mark Zuckerberg ametoa shukrani kwa watumiaji wa mtandao wa Instagram kwa mafanikio makubwa ya ongezeko la watumiaji wake kwa mwezi.
• Watumiaji bilioni 3 kwa mwezi
• Mtandao namba 3 duniani, nyuma ya Facebook na YouTube pekee
• Thamani zaidi ya dola Bilioni 500 (sawa na trilioni 1,238 za Kitanzania)
Instagram si tena mtandao wa picha pekee, ni himaya ya kijamii na kiuchumi.