Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Hakuna mambo ya tuma na ya kutolea"- Prisca

Alhamisi , 4th Mar , 2021

Mwanamke Kinara Prisca Schulter, amesema kuwa utaratibu uliopo nchini Ujerumani kwa wanandoa ni kwamba mume na mke huwa wanashirikiana katika kuhudumia familia kwa kuhakikisha kila mmoja wao anatoa kiasi cha pesa katika kila mshahara wake kwa ajili ya matumizi ya familia.

Mtanzania anayeishi Ujerumani Prisca Schulter

Prisca ameyasema hayo leo Machi 4, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, wakati alipohojiwa kuhusu umuhimu kwa mwanamke kufanya kazi yoyote ya halali ili kuweza kuongeza kipato cha familia na kumsaidia mume wake majukumu ya ndani ya nyumba.

"Huku Ujerumani mke na mume mnakadiriana kulingana na mshahara wa kila mmoja wenu yaani kila mmoja ana wajibu wa kuacha pesa kila mwezi, ukipata mshahara kila mtu anatumbukiza kwa ajili ya matumizi ya kila siku ya familia mfano hii ya ada, kodi na mahitaji mengine," amesema Prisca.

Ameongeza kwa kusema kuwa "Yaani mwanamke anatoa pesa na mwanaume anatoa pesa, huku hakuna yale mambo ya tuma na ya kutolea, huku mnaongea mfano mimi nimeolewa na Mjerumani yeye anatoa pesa yake na mimi natoa pesa yangu kila mwezi na inajulikana".

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri