Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Elon Musk anatafuta aliyetayari kujitolea

Jumatano , 8th Nov , 2023

Bilionea namba moja ulimwenguni Elon Musk, kupitia kampuni yake ya ''Neuralink'' wanatafuta watu ambao watakuwa tayari kujitolea ili kufanyiwa upasuaji wa kichwa kwa ajili ya kupandikizwa ''chip'' kwenye ubongo.

 

 Mfumo huu wa ''Neuralink'' unahusisha kuondoa kipande kidogo cha fuvu kwenye kichwa cha mgonjwa aliyekumbwa na maradhi ya kiharusi, na kupachika mfumo huu kupitia kifaa maalumu ili kusudi kimsaidie kurejesha hali ya uwezo wa kufikiri kama kompyuta.

Ijapokuwa kwa wagonjwa wa kiharusi kwa sasa wanatumia mfumo wa ''brain–computer interface (BCI)'' ambao unaunganishwa na fuvu la kichwa kwa msaada wa Akili mnemba (A.I) ambao unamuwezesha mgonjwa kuwasilisha mawazo yake kwa mfumo wa sauti.

Na mfumo huu kwa sasa unamuwezesha mgonjwa kuzungumza maneno 78 kwa muda wa dakika moja, lakini wanapanga kufanyia maboresho kumuwezesha mgonjwa kuzungumza maeneno 150 kwa lisaa.

Bado haijafahamika kama mfumo wa ''Neuralink'' utaweza kumsaidia mgonjwa zaidi ya mfumo huu wa Akili mnemba kupitia (BCI) pengine tusubiri matokeo ya majaribio yatasema nini kuhusu mfumo huu. 

Kwa mujibu wa wavuti wa Fox unaeleza watu wanaohitajika kwa ajili ya kujaribiwa kwenye mfumo huu wa ''Neuralink'' wanatakiwa 
* Awe chini ya umri wa miaka 40.
* Mwenye kusumbuliwa na kiharusi.
*Utayari wa mtu mwenyewe.

Picha: viniloblog.com

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea