Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bibi wa miaka 65 aolewa na mwanaye wa miaka 24

Jumanne , 16th Jun , 2020

Bibi wa miaka 65 aliyetambulika kwa jina la Mbah Gambreng amekubali kufunga ndoa na mwanaye wa kumnunua au kufikia aitwaye Ardi Waras mwenye miaka 24 huko Kusini mwa Sumatra nchini Indonesia.

Wanandoa Mbah Gambreng (65) na mumewe Ardi Waras (24)

Bibi huyo amesema walikuwa wanaishi pamoja tangu mwaka jana kipindi alipokuwa mtoto wake wa kiume, na hadi sasa ameamua kuolewa naye baada ya kuingia kwenye mahusinao, na hakutegemea kama angeweza kuchumbiwa na kufunga naye ndoa.

Aidha mzee huyo ambaye anamiliki watoto wengine watatu wa kike wa kufikia na kuwanunua ameongeza kusema, alipata mshangao baada ya kuambiwa anataka kuolewa na mtoto wake huyo.

Mtoto wake huyo ambaye amemuoa anadaiwa alilipa mahari ya Rupia 100,000 kwa pesa ya Indonesia sawa na Tsh 16,396, pia wanandoa hao walishea picha zao kwenye mitandao ya kijamii huku wakiwa wameshikana mikono na kila mmoja akifurahia kampani ya mwenzake.

Uwepo wa umri kati ya mzee huyo na mwanaye haimaanishi kama ndiyo ndoa ambayo wamezidiana kwa umri mrefu, kwani mnamo mwezi Februari  mzee wa miaka 100 alimuoa binti wa miaka 20 na kupishana tofauti ya miaka 80 hukohuko nchini Indonesia.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa