Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Adhabu ya kuvujisha picha,video zisizo na maadili

Alhamisi , 24th Sep , 2020

Kufuatia kuvuja kwa video zisizo na maadili mitandaoni zikimuonyesha  mwanafunzi anayedaiwa kusoma chuo cha usimamizi wa fedha, Wakili Getrude Diabene amesema kisheria ni kosa kujirekodi picha au video za utupu kabla hata kusambazwa.

Alama inayoonyesha hali ya tahadhari

Wakili Getrude Diabene amesema ikitokea picha au video kusambaa mitandaoni huwa wanaangalia imetokea kwenye mazingira gani, kisha wanaenda kwenye kanuni ambazo zinasema mtu huyo alikuwa na nia gani ya kusambaza,  kama alikuwa ana nia ya kumdhalilisha mwenziye  inakuwa kosa kisheria.

"Ukija kwenye sheria ya makosa ya mitandaoni kifungu cha 14 kinasema ni kosa kusambaza video au picha zenye kuashiria ngono, tena  wote wawili mnakuwa mmefanya kosa, adhabu yake ni miaka zaidi ya 10 jela, faini ya milioni 30 au vyote kwa pamoja, aliyesambaza atakuwa na kosa la jinai" amesema Wakili Getrude Diabene

Aidha Wakili huyo ameongeza kusema kwenye tukio kama hilo huwa kuna mambo mawili ambayo yanatokea kwa sababu kuna wale wanaotaka kurekodi wenyewe, pili kuna kurekodiwa bila ya kujua au kutekwa na kuleweshwa halafu unarekodiwa.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji