Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wazee wanataka namba D" - Mwanne Othman

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Kwanini baadhi ya wanawake hupenda kutoka na wababa ndio lilikuwa swali la leo kwenye show ya DADAZ ya East Africa TV, ambapo mtangazaji Mwanne Othman amesema ni tamaa na uchu wa wazee ndio unaowafanya kutaka wanawake vijana.

Mtangazaji Mwanne Othman

"Mzee anarubuni kwa pesa, simu au vitu vizuri kwa hiyo mtoto anakuwa rahisi kurubuniwa, anaweza akawa mwanafunzi au binti wa ndani lakini tamaa na uchu wa wazee wanaamini hao ndio hawajuzurura sana ili kuwafaidi vizuri, wanasema ni namba D hawataki namba A" Mtangazji Mwanne Othman

Kwa upande wa Bhoke Egina amesema "Sasa hivi imekuwa 'trending' kwamba watoto wanawataka wababa ili kuoneakana vizuri, kusafiri na kutumia simu ya macho matatu kwa hiyo vijana wa life yao hawawezi kuwapa, wanaamini wababa wanaweza kuwapa 'lifestyle' ya aina hiyo"

Aidha dada Najma Paul yeye akasema "Kuna kitu kinaitwa tabia, mimi sitaki ku-base kwa baba au mtoto ila nataka niongee na binti, ukiona mpaka baba anakufuata unatakiwa kuonesha msimamo na kukataa".

DADAZ show ni kila siku ya J3 hadi Ijumaa kuanzia 5:00 Asubuhi mpaka 6:00 Mchana, pia inakuwa live kupitia Facebook na Instagram ya East Africa TV.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu