Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wazee wanataka namba D" - Mwanne Othman

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Kwanini baadhi ya wanawake hupenda kutoka na wababa ndio lilikuwa swali la leo kwenye show ya DADAZ ya East Africa TV, ambapo mtangazaji Mwanne Othman amesema ni tamaa na uchu wa wazee ndio unaowafanya kutaka wanawake vijana.

Mtangazaji Mwanne Othman

"Mzee anarubuni kwa pesa, simu au vitu vizuri kwa hiyo mtoto anakuwa rahisi kurubuniwa, anaweza akawa mwanafunzi au binti wa ndani lakini tamaa na uchu wa wazee wanaamini hao ndio hawajuzurura sana ili kuwafaidi vizuri, wanasema ni namba D hawataki namba A" Mtangazji Mwanne Othman

Kwa upande wa Bhoke Egina amesema "Sasa hivi imekuwa 'trending' kwamba watoto wanawataka wababa ili kuoneakana vizuri, kusafiri na kutumia simu ya macho matatu kwa hiyo vijana wa life yao hawawezi kuwapa, wanaamini wababa wanaweza kuwapa 'lifestyle' ya aina hiyo"

Aidha dada Najma Paul yeye akasema "Kuna kitu kinaitwa tabia, mimi sitaki ku-base kwa baba au mtoto ila nataka niongee na binti, ukiona mpaka baba anakufuata unatakiwa kuonesha msimamo na kukataa".

DADAZ show ni kila siku ya J3 hadi Ijumaa kuanzia 5:00 Asubuhi mpaka 6:00 Mchana, pia inakuwa live kupitia Facebook na Instagram ya East Africa TV.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa