Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wanakuonea wivu hadi ukisemwa vibaya" - Nanauka

Alhamisi , 7th Jan , 2021

Mhamasishaji Joel Nanauka amefunguka kuhusu suala la wivu ambalo linawatesa watu wengi kwa kusema, wivu ni hisia inayompata mtu pale anapoona mwingine anapata au kufanikiwa kisha yeye kuumia na kuchukia, pia wapo wenye wivu wa kimya kimya na wanaosema.

Mhamasishaji Joel Nanauka

Aidha Joel Nanauka amefika mbali zaidi kwa kutaja sababu nne za watu kuoneana wivu ambapo ni 

Kustahili

Sababu ya kwanza watu huona kwamba yule aliyepata hastahili, wapo ambao wameshajihesabia kuwa wao ndiyo wanatakiwa kupata kitu fulani au kila kitu halafu wewe hustahili sasa hali hiyo hupelekea kumjengea wivu na chuki dhidi yako.

Kufanya kitu ambacho wao wamefeli 

Sababu ya pili ya watu kuona wivu ni kufanya kitu ambacho wao wamefeli na anapomuona mtu mwingine anafanikiwa kwenye hiko kitu ambacho yeye umekishindwa basi anaona kama anahukumiwa kimya kimya anaanza kukuonea wivu.

Kufanikiwa kwa ulichotamani kukifanya

Kuna watu wanakuonea wivu  kwa sababu hawajawahi kukifanya hiko kitu ila kinachotokea wewe unapokifanya yeye kinamuumiza na kutamani kama angekuwa yeye kwenye hiyo nafasi hivyo inamuumiza na kumletea majuto ndani yake. 

Tamaa ya kuwa juu siku zote 

Kuna watu ambao inawauma sana mtu mwingine akisifiwa inawezekana hata hicho kitu yeye hana uwezo nacho kabisa yote ni kwa sababu hutaka yeye ndio kuwa juu, sasa shauku hiyo humfanya mtu aone wivu kwa mwingine maana wapo watakuonea wivu hata ukisemwa kwa mambo mabaya yeye anachukia tu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa