Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: "Singeli tupunguze matusi" - Man Fongo

Alhamisi , 18th Mei , 2017

Msanii  Man Fongo amewataka wasanii wenzake wa kisingeli nchini kupunguza ukali wa maneno katika tungo zao wanazozitumia kwenye kuimba kwa madai muziki huo ndiyo pekee wa asili uliyobakia katika kulitangaza taifa kwenye soko la kimataifa

Msanii  wa miondoko ya kisingeli Man Fongo

Man Fongo amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz cha EATV huku akisisitiza kuwa muziki huo unasikilizwa na watu wa rika lote hivyo ni vizuri kwa wasanii kutumia mafumbo sehemu zenye matusi ili mtu awe na kazi ya ziada ya kulifumbua neno hilo lilikuwa linamaanisha jambo gani.

"Tupunguze kidogo ukali wa maneno kwa sababu ukiweka ukali wa maneno zaidi inawafanya watu wanashindwa kutuelewa kutokana sasa hivi muziki wetu umeshakuwa mkubwa unaeleweka na wakina mama, watoto wadogo pamoja na watu wazima...Tunataka tupambane tuzidi kufika kimataifa zaidi, asiwe anatoka Man Fongo tu leo kaenda huku basi kesho tumsikie mwengine kama Shoromwamba au nani.. Wote tutoke tupige muziki wetu tukautangaze....Tutoe ule ukali wa maneno kidogo, nikisema ukali wa maneno nina maanisha tutoe yale matusi kwa maana ukiongea kwa moja kwa moja utakuwa ujafumba inabidi ufumbe uweke katika mafumbo kidogo mtu awe na kazi ya kulifumbua lile neno". Alisema Man Fongo

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani