Ofisa Fedha kutoka GGML, Joscar Rumanyika, akifafanua faida za program ya ushauri kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kalangalala. GGML imezindua mpango huo uliopewa jina la ‘GGML Ladies mentorship program’ ikiwa ni sehemu ya wanawake wa kampuni hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake.

14 Mar . 2024

Watuhumiwa biashara ya dawa za kulevya

13 Mar . 2024

Makamu Rais wa AngloGold Ashanti - GGML anayeshughulikia miradi endelevu na masuala ya ubia na ushirika Afrika, Simon Shayo akihutubia katika maadhimisho ya Jukwaa la The Citizen Rising Women lililofanyika jijini Dar es Salaam.

12 Mar . 2024