Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Usichokijua juu ya Alikiba na Mr Blue

Jumanne , 23rd Mei , 2017

Wakali wawili katika anga la bongo fleva Alikiba na Mr Blue ambao wameendelea kufanya vyema kwa muda mrefu, mwaka jana walikutana tena kwenye ngoma mbili, moja ikiwa ile ya Abby Skillz 'Averina' na ile ya Mr Blue 'Mboga saba'

Alikiba na Mr. Blue

Wimbo uliowakutanisha Mr Blue na Alikiba 'Mboga saba' ni wimbo ambao ulikuwa na mafanikio makubwa sana na kutazamwa na watu wengi kwenye mitandao ya jamii hasa 'You tube' lakini usichokijua juu ya ngoma hii ni kwamba video ya wimbo huu ilifanyika kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo ilimbidi Mr. Blue afungulie ili aweze kufanya baadhi ya mambo katika video hiyo kama kula mihogo ya pale 'Coco beach' Dar es Salaam na kunywa maji ya dafu.

Lakini kwa upande wa Alikiba yeye aligoma kabisa kutengua swaumu yake na ndiyo maana katika video ile alikuwa amevaa vazi moja tu mwanzo wa video mpaka mwisho wa video ile ya mboga saba. 

Jambo la mwisho ambalo wengi hawafahamu ni kuwa zile sauti za kike zinazosikika kwenye ngoma ile ni sauti za Maua Sama.   

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu