Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tunda Man mdogo sana"- Bob Junior

Jumanne , 22nd Mei , 2018

Msanii na muandaaji wa muziki Bob Junior amesema kuwa Tunda Man amemzidi umri tu lakini kwenye kazi yeye ni mkubwa zaidi yake.

Bob Junior amesema hayo kupitia eNews ya EATV huku akisisitiza kuwa muziki ameanza muda mrefu lakini wazazi walikuwa wakimzuia na kusisitiza asome kwanza kwa kuwa alikuwa bado mdogo.

“Tunda ni kaka yangu na nina mheshimu kwakuwa kanizidi umri na baadhi ya vitu lakini kwenye kazi tuheshimiane mie sio mtoto kama anavyosema mbona nmemfanyia baadhi ya nyimbo zake tena bure wakati anaanza, sasa nani mdogo hapo kati yetu”,  amesema Bob Junior.

Hayo yamejiri baadaya msanii Tunda Man kutoa 'video' tatu za nyimbo zake mpya suala ambalo lilimuibua Bob Junior na kutoa ushauri kwa msanii huyo kuwa alitakiwa kutoa kwa awamu ili awape muda mashabiki wake.

Mtazame hapa chini Bob Junior akielezea zaidi kuhusiana na jambo hilo...

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji