Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunda Man awadiss wasanii

Ijumaa , 15th Dec , 2017

Kapteni wa Bongo Fleva Tundaman amewataka wasanii waache tabia ya kutoa toa nyimbo kila kukicha wakati nyimbo zenyewe mbovu na hazidumu kwa muda mrefu.

Akiongea na eNEWZ ya East Africa Television, Tunda Man amesema nyimbo zake anazoziandika zinaishi kwa mda mrefu na zinamaudhui yanayojitosheleza kuishi miaka mingi katika sanaa na ndio maana amekaa zaidi ya miaka miwili  tangu ameachia nyimbo yake ya mwisho Mama Kijacho.

Hata hivyo Tundaman anasema pamoja na wasanii wa sasa kuachia nyimbo nyingi kwa wakati mmoja, lakini wengine wanaachia nyimbo ambazo hazina ujumbe wala maana kwa jamii. “Wanatoa nyimbo mbaya ambazo zikipigwa kwenye vyombo vya habari wiki mbili tatu tu mwisho wa siku zinapotea kabisa”.

Tundaman pia ameongelea suala la wasanii kubebwa ambapo amesema katika mziki wa sasa wasanii wamekuwa wanabebwa mara nyingi kwenye vituo mbalimbali vya Radio na Television. Mklai huyo wa 'Hit' kibao ameachia ngoma yake mpya inayoitwa TOTO.

“Wakati mwingine unakuta mtu anatoa nyimbo ambayo hajaigharamia kwa chochote kwa kuwa tayari ana washikaji wengi watakao msaidia katika Video na hata Audio mwisho wa siku inatoka nyimbo mbaya au ambayo haina viwango” amesema Tundaman. 
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa