Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunda aomba radhi mashabiki kwa tabia ya uzushi

Jumanne , 27th Sep , 2016

Msanii wa bongo fleva Tunda Man amewaomba radhi mashabiki zake baada ya kuwa na skendo ya kuzusha mambo yasiyo ya kweli.

Tunda Man

Baadhi ya mambo hayo ni pamoja na kutangaza kuwa yuko location aki'shoot movie ya “Mama Kijacho”, kwa kudai kuwa yuko pamoja na Riyama Ally na Mboto huku wasanii hao wakikanusha kushiriki katika filamu hiyo.

Akipiga story na eNewz Tunda amesea 'Mimi nilikuwa nikijaribu kulinda idea yangu ya Mama Kijacho isiibiwe na watu wengine, kwa kuwa bado nilikuwa sijalisajili'.

Tunda amesema alizusha uvumi huo ili kuzuia wasanii wengine wasitamani kufanya movie inayofanana na idea yake, lakini pia alitamani kutengeneza movie hiyo ila alidai kuwa alishindwa kutokana na kukosa ushirikiano toka kwa wasanii wengine.

Alisema “Naona watu kama hawanipi ushirikiano, wanaona kama nitapata pesa sana, hivyo nimeamua kuachana nao”.

Lakini pia Tunda hakusita kuzungumzia ngoma yake mpya ambayo alikuwa akiitangaza mitandaoni muda mrefu uliopita inayojulikana kwa jina la Mwanaume suruali, alisema “Video nili'shoot Mombasa lakini yule mtoto ambaye nili'shoot naye alikuwa mke wa mtu na hakutakiwa kuonekana katika video yeyote, hivyo ikanichelewesha kuachia ngoma hiyo”.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa