
Muigizaji filamu wa nchini Marekani, Terrence Jenkins
Terrence pia aliungana na mashabiki na wasanii mbalimbali nchini Tanzania katika kupremier filamu yake mpya iliyobatizwa jina 'Think Like A Man Too' ikiwa ni toleo la sehemu ya pili.
Muigizaji huyo nyota ameongea na eNewz kuhusiana na kuendesha semina hiyo ya kuwasaidia wasanii mbalimbali nchini katika kuendeleza vipaji vyao na jinsi ya kujitangaza zaidi tasnia ya burudani kimataifa.