Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Swali la AY kwa wasanii wa sasa

Jumanne , 8th Jun , 2021

Legendary wa muziki na mfanyabiashara AY  amesema wakati anaenda kwenye tuzo za MTV alikuwa anabeba nyimbo za wasanii wengine kwa ajili ya kupata nafasi ya kupenya huko, pia  ameuliza wasanii wa sasa kwamba wanaweza kufanya jambo hilo.

Msanii AY kwenye studio ya East Africa Radio

AY ameelezea hilo kupitia kipindi cha Supa Breakfast 'Menu Mpya' ya East Africa Radio, kwa kusema wasanii wa sasa wawe na upendo kwani  hawezi jua kesho atakuwa wapi na atasaidiwa na nani.

"Zamani ulikuwa unapambana peke yako, mimi niliona sio sawa kusafiri peke yangu nikawa nabeba nyimbo za wasanii wenzangu kuwapelekea MTV, swali langu hawa wa sasa hivi wanaweza kufanya hivyo, nilikuwa nachukua hadi nyimbo za Kenya ili kupigwa MTV"

"Dawa ni kusambaza upendo tu, lazima tupendane haya maisha yapo tu, leo unaweza ukamfanyia mtu hivi kesho unamkuta yeye ndio boss you never know, video ya habari ndio hiyo au ngoja ageuke tulichukua mastaa kibao, hiyo ndio love"

"Napenda kuishi nikiwa Neutral sifungamani na chochote, Memory ambayo nikisema nimebugi sikumbuki japo nilikuwa napigwa vita ya chinichini, kwenye maisha hatuwezi kufanana kuanzia kwenye mpira, muziki au hata kwa madaktari" ameongeza 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa