
Msanii wa miondoko ya hip hop nchini, Stereo
Aina hiyo ya hip hop ambayo yapo ni kuanzia katika siasa, mapenzi, majigambo binafsi, hatua ambayo humfanya msanii kujiwasilisha katika ladha tofauti tofauti.
Stereo akitolea mfano ujio wa kazi yake mpya 'Ukonga Mikono Juu', amesema kuwa baada ya kugusa sehemu tofauti za muziki huu, ameamua kusikiliza maoni ya mashabiki wengi na kurudi tena katika Hip Hop ya mtaa, akionesha mfano kwa kuwakilisha vizuri sehemu anayotoka, katika kazi hiyo.
