
Picha ya Stamina kulia, kushoto ni Shetta
"Shetta ni mjanja mjanja sana, kati ya wamba ambao nawaaminia yeye kiboko anajua kuitafuta fursa na haiachi ule ndio unyama na inavyotakiwa, watu wengi wanaeka kwenye angle ya uchawa kwangu mimi simuoni kama ni uchawa namuona kama fighter" ameeleza Stamina
Stamina ameongeza kusema kuna vitu vingine anavyovifanya Shetta ambavyo yeye hawezi kuvifanya kwa sababu kwenye maisha lazima kuwe na mtu ambaye anachangamka.