Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sina mpango wa kujiunga QS - Timbulo

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Msanii Timbulo ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake kipya kinachokwenda kwa jina la ‘mfuasi’ amesema hawezi kujiunga katika 'Label' ya QS Mhonda kwa kuwa hana imani nayo kama wanafanya biashara ya muziki.

Timbulo

Hayo yamekuja baada ya tetesi zilizoibuka kuwa msanii huyo amekataliwa kuingia katika uongozi wa Mhonda ambao ndiyo ulikuwa unasimamia kazi za Q Chillah hapo awali kabla hawajaingia katika vurumai ya kimkataba.

“Q Chillah ameshawahi kuwa na bendi  amefanya 'show' nyingi sana na watu wanajua hajawahi kufanya kitu chochote cha maajabu, kwa mimi binafsi sidhani kama QS ni menejementi ya muziki”. Alisema Timbulo wakati anahojiwa katika kipindi cha eNewz kutoka EATV.

Aidha msanii huyo amesema anamkubali sana Chillah ingawa kwa sasa siyo yule wa kipindi kile anayemfahamu katika ubora wake, huku akirusha kombora kwa Mhonda na kumwambia hajaona msaada aliyoutoa kwenye kuusogeza muziki wake (Chillah) zaidi ya msaada wa kimaisha ikiwemo kuwapa wasanii nyumba za kuishi na magari yakutembelea.

Kwa upande mwingine msanii huyo amesema ukimya wake katika muziki una faida kubwa kwani asingekuwa na usimamizi mzuri basi sasa hivi naye angekuwa katika kundi la kuutumia dawa za kulevya.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa