
msanii wa nchini Uganda Sheeba Karungi
Sheeba amesema kuwa, kila wakati anapokuwa Studio, akimaliza kurekodi hufanya kazi ya kutengeneza picha ya namna video ya kazi hiyo itakavyotakiwa kuwa kutokana na uwezo alionao.
Sheeba amesema kuwa, video zake zinakuwa na utofauti sana kutokana na uwezo wake huu ukiunganishwa na mchango wa muongozaji wa video husika.
