
mtangazaji wa kipindi cha Mkasi cha EATV Salama Jabiri
Kwa heshima ya maelfu ya wapenzi wake, mtangazaji muanzilishi wa shoo hiyo Salama Jabir atakiendesha.
Kutoka katika mahojiano ambayo eNewz tumefanya leo, kwa niaba ya wasanii, AY na vilevile TID ambao wapo katika muziki kitambo, wameelezea kuhuzunishwa na taarifa za kufa kwa show kubwa kama hiyo huku mzee wa Commercial akiwa haamini akihisi kuna ujio wa kitu kizuri zaidi.
Kwa upande wa pili pia mashabiki wa show hii ya aina yake wakawa na haya ya kusema kuhusiana na mwisho wa Planet Bongo.
