Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Roma asingetoa wimbo - Nancy

Jumapili , 13th Aug , 2017

Mke wa msanii Roma, Nancy Ibrahim amesema kulingana na matatizo ambayo waliyapitia na mumewe, asingeweza kuachia kazi mpya, kwa jinsi ambavyo ilimuathiri kisaikolojia.

Msanii Roma

Akizungumza kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na East Africa Television, Nancy amesema kwa jinsi ambavyo walikuwa kwenye wakati mgumu miezi miwili nyuma, Roma asingeweza kuachia kazi yoyote kwani hata uwezo wamkuandika aliuwa hana.

"Mwezi wa tano hivi au wa sita ungemwambia atoe asingeweza, kwa sababu kichwa nacho kilikuwa hakiko sawa, hata kuandika ni ngumu, kwa sasa hivi tunamshukuru Mungu maisha yanaendelea, tumerudi nyumbani, mtoto anaenda shule", alisema Nancy.

Nancy aliendela kusema kuwa kitendo hiko kiliwafanya wawe karibu zaidi kwa kumjua Mungu na kusali, kwani walikuwa na uoga wa hali ya juu.

"Matatizo yametubadilisha wote kiujumla sio Roma peke yake, matatizo yametupa uoga wa maisha, matatizo yametufanya tumemjua zaidi Mungu, unajua saa nyingine unapitishwa katika jambo ili ujifunze kitu fulani, pia yametufanya tunamjua zaidi Mungu, tunasali sana, kingine ndio hicho yani, uoga sana sana, tunavyozidi kusali uoga unapungua maisha yanaendelea tunafanya shughuli zetu zinaendela kama kawaida", alisema Nancy.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke