Picha ya msanii Q Chief
Q Chief ameongeza kusema jambo lingine lilomfanya kukonda ni changamoto binafsi za maisha yake mpaka kusababisha kukaa kimya kwa muda wa mwaka mmoja kwenye game.
Zaidi mtazame hapa Q Chief akizungumzia hilo.
Msanii Aboubakary Katwila Q Chief ameweka wazi kwamba amepitia changamoto nyingi tangu ameingia kwenye ndoa jambo ambalo limemfanya kumkondesha mwili wake.
Picha ya msanii Q Chief
Q Chief ameongeza kusema jambo lingine lilomfanya kukonda ni changamoto binafsi za maisha yake mpaka kusababisha kukaa kimya kwa muda wa mwaka mmoja kwenye game.
Zaidi mtazame hapa Q Chief akizungumzia hilo.