
msani wa muziki wa kizazi kipya nchini Nuh Mzwanda
Na kwa utafiti aliofanya kwa wadau, rekodi hii haikuwa chaguo lao kuwa kazi ya kwanza kwa msanii huyu kutoka nayo.
Nuh Mziwanda amesema kuwa, aliamua kuachia Msondongoma kutokana na msukumo aliokuwa nao binafasi, akiacha ushauri alioupata, na kwa kuzingatia hili, mafanikio aliyopata ni makubwa kuliko alivyokuwa anatarajia.
