Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki Mbishi atangaza kuwakomboa wanawake

Jumapili , 23rd Apr , 2017

Rapa kutoka Tanzania anayefanya vizuri na ngoma ‘Sam Magoli’ Nikki Mbishi ametangaza ujio wake mpya wa kutaka kuwarekebisha wadada ambao wanatumia pesa nyingi kurekebisha miili pamoja na ngozi.

Nikki Mbishi

Rapa kutoka Tanzania anayefanya vizuri na ngoma ‘Sam Magoli’ Nikki Mbishi ametangaza ujio wake mpya wa kutaka kuwarekebisha wadada ambao wanatumia pesa nyingi kurekebisha miili pamoja na ngozi.

Kupitia ukurasa wake Instagram Nikki Mbishi ametoa ujumbe huo kwa kuweka kionjo kuwa anayo zawadi ya wimbo utakaokwenda kwa jina la 'Dada pumzisha mwili wako' maalumu kwa akina dada wanaotumia muda na pesa zao katika kujitengeneza vile wanavyotaka wawe. 

Aidha Nikki amefafanua kuwa lengo la kuachia wimbo huo ni kutoa elimu zaidi kwa matumizi ya madawa na vipodozi vyenye madhara madogo na makubwa katika miili ya watumiaji.

"Baada ya 'IamSorryJK na Sam_Magoli' msanii wako bora wa siku zote @nikkimbishi anakuja na kazi mpya iitwayo 'Dada Pumzisha Mwili Wako'.

Wimbo ambao ni dedication kwa wadada wote wanaodhani uzuri unauzwa dukani kiasi cha kutumia vipodozi na dawa za kubadili maumbo na sura zao. Lengo la wimbo ni kukumbusha madhara ya kutumia vipodozi kupita kiasi kitu ambacho kimekuwa kikihatarisha afya ya ngozi na hata uzazi kwa ujumla pamoja na mambo mengine ya kitaalamu zaidi"- Nikki Mbishi.

Nikki ambaye ni miongoni mwa marapa ambao wamewahi kuingia katika orodha za wasanii ambao nyimbo zao zimewahi kufungiwa kwa kuwa na mashairi yasiyo na maadili, ametaja tarehe rasmi ya ujio wa ngoma hiyo kuwa ni 28  April 2017.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa