Picha ya Rais Trump na msanii Nicki Minaj
Baada ya Nicki kutoa kauli hiyo kwenye video wakiwa pamoja Rais Donald Trump akajibu kwa kumsifia akisema msanii huyo ni malkia wa Rap/HipHop.
Pia Nicki Minaj alipewa zawadi ya kazi ya dhahabu kutoka kwa Rais Trump kwenye mkutano wa kudumu wa Akaunti ya Trump.
Kadi hiyo ya Dhahabu ni ya Visa kulingana na uwezo wa mtu binafsi wa kutoa manufaa makubwa kwa Taifa la Marekani.



