Jumatano , 26th Oct , 2022

Msanii wa BongoFleva Barakah The Prince amesema ni kweli anamchukia msanii Alikiba kwa sababu ya mambo yao 'Personal'. 

Picha ya msanii Barakah The Prince

Barakah The Prince ameweka wazi hilo kupitia show ya Planet Bongo ya East Africa Radio inayoruka kila siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 7:00 mchana mpaka 10:00 jioni. 

Zaidi tazama hapa Barakah akizungumzia chanzo cha kumchukia Alikiba.