Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ni heri mtu akose figo kuliko 'bando' - Roma

Jumatano , 29th Mar , 2017

Msanii Roma Mkatoliki amesema hali ya utandawazi imeharibu nchi ya Tanzania katika utendaji kazi maofisini mpaka shuleni kutokana na watu kutekwa na mitandao  ya kijamii kwa kutotaka kupitwa na vitu vinavyoendelea kutokea.

Roma

Akizungumza katika kipindi cha eNewz kinachorushwa na EATV rapa huyo anayetamba na ngom ya 'Usimsahau Mchizi' ametoa kauli hiyo kufuati hali ya nchi kukumbwa na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na kupelekea kila mwananchi kutamani kuona au kusikia mwenyewe.

“Hali ilipofikia sasa hivi ni heri mtu akose figo kuliko bando nikimaanisha kwamba nguvu ya mitandao kijamii  imekuwa kubwa sana kiasi kwamba ukienda mashuleni, maofisini utakuta watu saa 12 asubuhi wakiripoti maeneo yao, mchongo wa kwanza utakuta mtu anakwambia ebwana umeona fulani instagramu ameandika nini, kitu kama hicho kuanzia mwaka 2012 kushuka chini sijawahi kukiona”. Alisema Roma

Aidha msanii huyo amejitolea mfano kwa kusema imefikia hatua endapo wanapokutana na washkaji zake basi ndani ya dakika 40 wote wanajikuta wamepiga ukimya (ganzi) kila mtu huwa yupo ‘busy’ na simu yake kuangalia ‘ubuyu’ katika mitandao ya kijamii.

Kwa upande mwingine Roma amefafanua ile kauli yake aliitoa kuwa ‘tunajenga Tanzania ya viwanda au Tanzania ya ubuyu’ na kusema laiti kama watanzania wote wangekuwa wapo pamoja katika kutazama huko basi lengo hilo la kubadirisha nchi ingekuwa nyepesi lakini sasa hivi imekuwa tatizo kubwa kutokana watanzania wengi kuwa hawajapewa nafasi ya kutoa mawazo yao katika kuiboresha na kuijenga dhana hiyo katika nafasi inayostahili.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa