Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay ajisafisha ishu ya Roma Mkatoliki

Ijumaa , 21st Apr , 2017

Mwanamuziki anayesumbua kwa sasa na wimbo wa 'Wapo' Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego amejitetea kwenye eNewz ya EATV kuwa watu wasihusishe vitu anavyoweka kwenye mitandao ya kijamii na tukio la utekwaji wa msanii Roma Mkatoliki.

Nay amefunguka hayo baada ya kuulizwa kuhusu maneno aliyoyaweka kwenye mtandao wake wa Instagram siku moja baada ya kupatikana kwa msanii Roma pamoja na wenzake wanne ambao inasemekana walitekwa na watu wasiofahamika.

"Ni dhambi kubwa watu kuhusisha post zangu na tukio la Roma kwa sababu mimi sikumlenga mtu yeyote yule. watu wameamua kuunganisha tukio la Roma na post zangu kwa sababu ya mihemko waliyokuwa nayo. Mimi nina washkaji wachahe sana na Roma ni mshkaji wangu sana na ninaamini alipata matatizo kweli. Watanzania nao naomba wamuamini kwa kipindi hiki ambacho anauguza majeraha lakini pia wamsapoti tukianza ku-coment vitu vya tofauti tutaharibu hata carrier yake na yule ni msanii hii ndiyo ajira yake" - Alisema Nay wa Mitego.

Hii ndiyo post ya Nay iliyozua gumzo baada ya Roma kupatikana

Hata hivyo katika siku yake ya kwanza kuzungumza na wanahabari baada ya kupatikana, Roma pamoja na mambo mwengine aliwalalamikia baadhi ya wasanii ambao ni watu wake wa karibu kumzungumzia vibaya kuwa anatumika kisiasa na baadhi ya wanasiasa na hata tukio la kutekwa alilipwa dola 5000 kwa ajili ya kuwapumbaza wananchi.

Mtazame hapa Nay katika show ya eNewz

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri