Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay aijibu BASATA "Siwezi badili chochote"

Jumanne , 4th Mei , 2021

Rais wa kitaa Nay wa Mitego amenyoosha maelezo kufuatia taarifa za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kuukataa wimbo wake na kumtaka aurekebishe kwa sababu una ukakasi hivyo haufai kwenda hewani.

Msanii Nay wa Mitego

Akizungumzia hilo kwenye show ya Planet Bongo ya East Africa Radio Nay wa Mitego ameeleza kuwa

"Wimbo wameukataa wanasema una ukakasi nifanye marekebisho, sasa mimi tayari nishafanya video na kila kitu, nilisikiliza kitu ambacho wametaka nirekebishe au nitoe kwenye wimbo ndio content yenyewe, nikitoa itakuwa sio wimbo tena ni Gospel"

"Nia yangu ni kuhamasisha wakina mama kwamba wanaweza kufanya kitu ndio kikubwa nilichokizungumza kwenye wimbo, sikutegemea utaonekana una tatizo, baada ya kuja jibu hilo nikasema siwezi kubadilisha chochote bora niachane nao japo inauma na nimepata hasara"

Aidha msanii huyo ameendelea kusema "Natamani Mama atakuja kusikia na ataona kabisa watu kiasi gani wanakurupuka, waliokaribu na Mama naomba wamwambie tu nampenda kuliko mtu yeyote anavyompenda, namjali na nina kitu kwa ajili yake lakini watu hawataki kusikia".

Zaidi mtazame hapa akizungumzia hilo.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji