Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nandy ni noma, awamaliza Alikiba na Harmonize

Jumamosi , 14th Nov , 2020

Kwa haraka haraka unaweza kusema kwa mwaka huu 2020, Nandy 'The African Princess' ndiyo msanii wa kike aliyefanya vizuri zaidi kuliko wengine kwa sababu ya nyimbo zake kufanya ku-trend kwenye 'industry', chart za BongoFleva, mitandaoni na madili ambayo ameyapata.

Kushoto ni msanii Nandy akiwa na Alikiba, kulia akiwa na Harmonize

Nandy ameweza kutoa ngoma 5 ambazo ni na nusu, acha lizame ft Harmonize, dozi, 'do me' na Billnass, nyimbo zote hizo zimefanya vizuri kwenye chart za muziki wa BongoFleva na ya mwisho ni hii aliyotoa na Alikiba inaitwa nibakishie.

Na namba huwa hazidanganyi kwani video ya wimbo wake wa na nusu una watazamaji milioni 2 kwenye mtandao wa YouTube, video ya acha lizame ina watazamaji milioni 6.4, video ya dozi ina laki 7, na video ya 'do me' aliyofanya na Billnass ina watazamaji milioni 1.5.

Kubwa zaidi ni kufanya kazi kwa pamoja na wasanii wakubwa hapa nchini Tanzania ambao ni Harmonize kwenye wimbo wa acha lizame na hii mpya iitwayo nibakishie aliyomshirikisha Alikiba.

Kibiashara inaweza kuwa nzuri kwa upande wake kwani anaweza kuongeza mashabiki wapya kutoka kwa wasanii hao ambao wana nguvu kubwa ya mashabiki na mitandaoni au ngoma hizo kufanya vizuri kwa sababu ya kuwashirikisha kwenye ngoma zake.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa