
Pamoja na kufananishwa huko, rapa huyo anasema sasa amekuja kuchukua nafasi ya Nay wa Mitego kama hatajipanga vizuri.
Basaga anasema ni kweli Nay wa Mitego anafanya vizuri kwenye muziki lakini anaamini wimbo wake unaokuja sasa 'Natafuta baunsa' utakuja kumuondoa kabisa Nay wa Mitego kwentye masikio ya watu na kufanya watu wamsikilize yeye.
Msanii Becka Title akiwa na Basaga
Tazama video hii Basaga akifunguka mengi zaidi, anasema anahitaji Nay wa Mitego na Kalapina kuwa mabaunsa wake yaani watu wa kumlinda.