Mzee Zahir Zorro
Mzee Zorro amesema kuwa ,mpango huu umekuja baada ya kukaa kwa muda mrefu na kujionea changamoto mbalimbali za kuendesha bendi, kubwa ikiwa kukaa mbali kwa wanamuziki na sasa ameamua kuachana na kazi nyingine zote na kuwekeza katika mpango huu mkubwa.
Msikilize Mzee Zorro hapa akielezea mpango huu mzima;

