Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakyembe awaumbua wasanii

Jumamosi , 18th Nov , 2017

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dr. Harrison Mwakyembe amewataka wasanii wa filamu Tanzania kuacha kutumia 'soundtrack' kwenye filamu za kitanzania ili kuleta uhalisia wa utamaduni wetu, kwani kufanya hivyo ni ushamba mkubwa.

Waziri Mwakeyembe ameyasema hayo alipokuwa akihutubia wageni waliofika kwenye uzinduzi wa television mpya ya Jasson, ambayo itakuwa inaonyesha kazi za sanaa za Tanzania, na kuwataka wasani wa Tanzania kutumia viu vya kitanzania ili kutangaza Utanzania na kuwa na maudhui ya Mtanzania.

"Soundtrack hakuna sababu kwa nchi tajiri kwa muziki kama Tanzania kwa msanii wa Kinyakyusa, msanii wa Kimakonde kutumia soundtrack eti za kizungu, ashakhum si matusi huo ni ushamba kwa kweli, ni matarajio ya wizara  baada ya miaka kadhaa mtu akisikia soundtrack ya , Mdumange, Mganda, Sindimba ajue anaangalia filamu ya Tanzania", amesema Waziri Mwakyembe.

Pamoja na hayo Waziri Mwakyembe amewataka wasanii hao kuzingatia matumizi ya lugha ya Kiswahili, ambayo kwa sasa inatambulika zaidi duniani.

Tazama video yote hapa 

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani