
Picha ya pamoja ya Davido, Chioma na mtoto wao
Taarifa ya chanzo cha kifo chake kinaeleza kuwa mtoto huyo alizama chini ya maji kwa muda mrefu kabla ya kuonekana pia walijaribu kumkimbiza Hospitali ambapo ndio ilithibitishwa kwamba tayari amefariki.
Ifeanyi amefariki ikiwa imepita siku 10 tu tangu alivyotimiza miaka mitatu.