Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msitishwe na wasanii wenye followers wengi - Fid Q

Jumanne , 17th Jan , 2017

Rapa Fid Q amefunguka na kusema kuwa watu hawatakiwi kutishwa na msanii mwenye followers wengi kwenye mitandao ya kijamii wakidhani kuwa mtu huyo ndiyo maarufu sana au ndiyo kusema anakuwa na biashara sana kwenye soko la muziki.

Fid Q

Fid Q aliyasema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo na kusema wapo baadhi ya wasanii ambao hawana watu wengi kwenye mitandao ya kijamii lakini ni wasanii wakubwa na wanaweza kufanya show zao wenyewe na wakajaza na makampuni makubwa yakawekeza pesa zao.

"Views za Youtube hazi'define' muziki kufika kwa watu, nina ushahidi wa muziki ambao una views nyingi youtube lakini watu hawaujui, Chameleone anaweza kufanya event hapa Tanzania na ikawa na sponsors, ikajaza watu mpaka sponsors wakaweka hela zao na hatokei hapa Bongo, sasa jiulize kwanini huyu ana followers wachache kwenye mitandao ya kijamii au ana views chache youtube lakini ana soko kubwa. Kuna watu ni maarufu mitandaoni lakini hawajulikani Mpitimbi hapo au Nanjirinji hakuna mtu anawajua lakini ukienda kucheki followers Instgram utakimbia" alisisitiza Fid Q 

Kutokana na hilo Fid Q anawataka watu kutodanganyika na maisha ya social networks akisema kuwa kuna maisha yenye uhalisia nje ya mitandao ya kijamii 

"Kuna wasanii wengine wana followers wengi lakini wakifanya show wanachezea za uso, sasa hao followers wanaishi wapi? Ina maana followers wengi ni feki? Hata kama wakiwa real wengi hawa exist katika real life, sababu mtu kama una followers milioni mbili unafanya event masaa haijazi hao followers wako wako wapi?  Alimaliza Fid Q 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa