Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JB awajibu wanaoziponda movie za Bongo

Alhamisi , 20th Apr , 2017

Msanii wa filamu nchini, Jacob Steven maarufu kama JB amefunguka ya moyoni na kusema kwamba ni kweli sinema zao zina mapungufu mengi lakini isiwe sababu ya wao kuacha kudai haki zao wanazoamini kuwa wananyonywa katika pato la mauzo.

Msanii wa filamu nchini Jacob Stephen

Hayo yameibuka baada ya kelele nyingi katika mitandao ya kijamii ikiwasema waigizaji pamoja na watayarishaji wa filamu nchini kukosa ubunifu wa kutosha na sasa kushinikiza serikali izuie kuingiza filamu zinazotoka nje ya nchi.

“Kwenye shida mimi sitajali nani ananisaidia ili mradi anagusa maslahi yangu, ugali wangu. Nakiri sinema zetu zina mapungufu mengi lakini hilo siyo sababu za kuacha kudai haki zetu, ni kama mgonjwa akiumwa leo anapelekwa kwa mganga kesho anapelekwa kuombewa, anatetea roho yake”. Ameandika Jb kupitia mtandao wake wa kijamii instagram

Vilevile JB, amesema hakuna aliyesema filamu za nje zifungiwe ila wanachotaka ni zifuate utaratibu kama wanavyofuata wao wenyewe.

“Ngoja tumalize hili tusichanganye na pia hakuna aliyesema zifungiwe hapana zifuate utaratibu kama sisi tunavyofuata hizo hizo ‘movie’ zetu mbovu ndiyo zinatuwezesha kuishi lakini pia lazima mfahamu biashara hii ni kubwa kuliko mnavyodhania, muvi mbili zinanitosha kuishi kwa mwaka mzima, ushawaza ni kiasi gani ?”. Alisisitizia JB

Kwa upande mwingine amewashukuru wananchi kwa kumpa ushirikiano katika kazi zake zaidi ya 50 kwa miaka 20 tangu anze fani hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa