Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Meneja avunja ukimya,afunguka Aslay kuzushiwa kifo

Ijumaa , 11th Sep , 2020

Meneja wa msanii Aslay, Chambuso amesema kuwa msanii wake amekuwa akiteseka na mambo yanaendelea kwa sasa kwa sababu yeye ni mkimya, sio mtu wa kujibu na kutumia mitandao ya kijamii ndiyo maana watu wanamzushia vitu vingi kama kifo.

Upande wa kushoto ni Meneja Chambuso, kulia ni msanii wake Aslay

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Meneja Chambuso amesema
 
"Aslay aliamua kukaa kimya kuanzia kwenye mitandao akawa haposti kitu na huwa hamjibu mtu, hili likaleta watu kumzushia kifo ila ukweli ni kwamba Aslay yupo hai, mara ya kwanza alinipigia simu usiku kuhusu hizo taarifa za kifo tena tulikuwa mkoani ilibidi turudi Dar Es Salaam na Aslay sio kama amekwama

"Kwa hiyo tulichofanya ni kutoa taarifa polisi ila ubaya watu wanaoimiliki hiyo akaunti ya YouTube hawajulikani, na tumewashtaki kwenye mtandao huo kwahiyo baada ya wiki 2 zitashushwa zile taarifa".

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa