Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mallya afunguka kuhusu Mama Mchungaji na Sheikh

Alhamisi , 6th Mei , 2021

Wahenga walisema mapenzi majani huota popote na hayachagui nchi, rangi, kabila na dini lakini mshauri wa masuala ya mahusiano Rosemary Mallya amesema usiingie kwenye ndoa kama mmoja wa wazazi wenu ni Mchungaji au Sheikh.

Mshauri wa mahusiano Rosemary Mallya

Akizungumzia suala hilo kwenye mada ya dini ina nafasi gani kwenye mahusiano kupitia show ya DADAZ Rosemary Mallya ameeleza kuwa "Kuhusu ndoa kwenye dini inaweza ikawa kikwazo na inaweza isiwe kikwazo kama huelewi nini unataka, kwa sababu kuna watu wameona kwa dini moja lakini bado hawana imani, cha kwanza unatakiwa ujue dini yako inasemaje kabla ya kuingia kwenye ndoa"

"Usiingie kwenye ndoa kwa sababu ya dini, ipende dini kwanza kuliko ndoa hata mkiachana utaendelea kuipenda dini yako, dini isiwe chanzo cha wewe kupata ndoa kwa sababu utakuwa unampenda mume au mkeo na maana dini hutaitumikia vizuri" Rosemary Mallya- Mshauri wa mahusiano

"Ukishajua mama yako ni Mchungaji halafu baba yake ni Sheikh msiingie kwenye mahusiano na mtu wa dini tofauti na hizo, utahitaji ushauri na baraka kutoka kwa wazazi sasa utakapoingia kwenye hiyo ndoa na wazazi wameikataa hautaweza kushaurika"

Interview nzima bonyeza hapa kutazama.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa