Nyoshi El Sadaat upande wa kushoto, kulia ni Bright Music
Akifunguka hilo kupitia EATV & EA Radio Digital Bright Music Music amesema
"Suala la ndoa bado ila kila kitu kitaenda sawa na taratibu zitafuata, kuhusu mahari siwezi kuzungumza labda Nyoshi El Sadaat mwenyewe aseme kwa sababu ni mali yake, ila mwisho wangu wa kutoa Mahari ni Tsh Milioni 5 kushuka chini".
Pia ameendelea kusema mahusiano yao yamedumu kwa muda mrefu sasa tangu wawe pamoja miaka mitatu iliyopita japo mwanzoni hakutaka kuweka wazi mapema.
Zaidi mtazame hapa chini kwenye video.