Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kayumba afunguka kukutwa na taulo kwa Irene Uwoya

Jumamosi , 10th Oct , 2020

Msanii wa BongoFleva Kayumba Asosie amesema Jamhuri ya watu wa mitandao ya kijamii ni wanafki sana kwa sababu wanapenda maneno ndiyo maana wakasababisha kuvunjika kwa ukaribu wake na staa wa filamu hapa nchini Tanzania Irene Uwoya.

Msanii wa BongoFleva Kayumba Asosie na staa wa filamu Irene Uwoya

Kayumba amezungumza hayo kupitia EATV & EA Radio Digital wakati akijibu madai ya kuhusishwa kuwa kwenye mahusiano na Irene Uwoya pamoja na kufumwa akiwa na taulo nyumbani kwa msanii huyo.

"Irene Uwoya alikuwa mshikaji wangu na tukaishia kwenye ushkaji, walivyoanza maneno yao tukaona bora tutulie tusiendelee maana ana familia yake na ana mtoto mkubwa, watu wa mitandaoni wanafki sana sijawahi kukutwa na taulo nyumbani kwake japokuwa nilikuwa naenda sana, halafu mbona ana watu wengi kwanini naonekana mimi tu" msanii Kayumba Asosie

Zaidi mtazame hapa chini kwenye video akizungumzia suala hilo

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa