Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Mama la mama kuzinduliwa leo

Jumamosi , 1st Mei , 2021

Kuelekea siku ya mama duniani Kampuni ya East Africa TV inazindua rasmi Kampeni ya Mama la mama ambayo ni inahusu kusheherekea kazi kubwa wanazozifanya wakina mama kwenye familia zao.

Picha ya baadhi ya wafanyakazi wa kike kutoka East Africa TV wakiwakilisha Mama la mama

Kampeni hiyo itazinduliwa leo Mei Mosi Samaki Samaki Mlimani City na itakuwa inashirikisha wananchi mbalimbali kueleza kwanini anahisi mama yake anastahili kuwa mama la mama ambapo mshindi atapata zawadi za thamani.

Baadhi ya zawadi zitakazotolewa kwa washindi wa kampeni hiyo ni Tsh Milioni 1 ambayo itaingizwa kwenye Akaunti ya UBA na jiko la kupikia la kisasa lenye thamani ya Tsh Laki 7 kutoka Jaden Home Store.

Zawadi zingine ni king'amuzi cha  DSTV na malipo ya kifurushi cha juu cha Premium , bidhaa za urembo kutoka Atsoko zenye thamani ya Milioni, Sabuni za OMO, pamoja na chakula cha mchana na watoto wake kwenye hoteli ya Levant iliyopo Masaki Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri