Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joh awafungukia 'Directors' Bongo

Ijumaa , 19th Mei , 2017

Msanii wa ‘Hip hop’ Joh Makini mwenye 'hit song' ya 'Waya' amefunguka kwa kudai akiwa anafanya kazi na ma-director wa nje ya bongo anakuwa hana stress ya aina yoyote kwa kuwa anapata kila kitu 'on set' na 'very proffessional'.

Msanii wa ‘Hip hop’ Joh Makini

Joh ametoa kauli hiyo baada ya maswali ya watu wengi kutaka kujua ni kwanini anapenda kufanya kazi zake za muziki nje na kuwaacha watengenezaji wabongo wenye viwango vikubwa zaidi ya huko anapokwenda.

“Mimi siwezi kukuficha kwamba natafuta ubora, na 'standard' ambayo nime-set katika muziki wa Joh Makini, inanilazimisha kuendelea kwenda juu sio kurudi chini…Waongozaji wa bongo nawaamini sana lakini nakuwa 'comfortable' nikiwa nafanya video na ma-director wa nje mara nyingine kwa sababu nakuwa sina 'stress'....Napata kila kitu 'on set' na wao wanakuwa wanafanya kila kitu alafu 'very professional". Alisema Joh Makini

Pamoja na hayo Joh amesema endapo waongozaji wa bongo wataongeza kasi yao katika kuboresha video zao basi muda si mrefu wasanii nao wataachana na mfumo huo wa kwenda nje ya nchi kutafuta ma-director bali kama itawalazimu hivyo basi wataenda kwa lengo la kutafuta 'location' na vitu vya tofauti na bongo.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji