Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jay Moe: Pesa madafu ni jibu kwa watu hawa

Jumatatu , 20th Mar , 2017

Mkongwe wa hip hip Bongo 'Jay Moe' ameweka wazi kilichomfanya yeye kufanya video kali ya 'pesa ya madafu' ni ili kuwathibitishia uwezo wake wale waliokuwa wakimsema kuwa hana uwezo wa kutengeza kazi nzuri.

Jay Moe

Akizunguza leo East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo alipokuwa katika 'Dakika Kumi za Maangamizi', Jay Moe amesema kuwa vijana wa sasa wengi wana mawazo ya kwamba wakongwe waliopo kwenye 'game' ya bongo hawana uwezo wa kutengeneza video ambazo zinaweza kupendwa na watu wengi kama wafanyavyo wasanii wa sasa.

"Zamani sisi tulikuwa tunashindana kuandika mistari, tunamtafuta mkali wa mashahiri, hiki kizazi cha video kali kilipokuja wakaanza kutudharau wakongwe kuwa hatuna uwezo wa kufanya kama wao lakini dharau zikazidi kuwa wasanii wa 'generation' yangu hatuna pesa ndipo nikaamua kutengeneza kichupa cha pesa ya madafu kikali kuwa- 'prove wrong". Alisema Jay Moe.

Jay Moe ndani ya EA Radio

Pamoja na hayo Jay Moe ameelezea kilichokuwa kikimfanya miaka ya nyuma kushindwa kufanya video nzuri kuwa ni kwa sababu alikuwa chini ya lebo (Bongo Record) hivyo bajeti zote alikuwa akipangiwa tofauti na sasa ambapo anajisimamia peke yake.

"Ukiwa chini ya uongozi kila kitu unapangiwa, kwa hiyo hata bajeti nilikuwa napangiwa, mwaka 2010 niliwaambia wenzangu mimi najipanga kwanza na maisha sitaki kuja kuaibika baadaye kwa kutokuwa na maendeleo, sasa hivi hata ukiniona sipigi show lakini nina uwezo wa kwenda kufanya video South kesho kwa sababu ya uwekezaji niliokimbilia kuufanya kipindi nipo kimya". Jay Moe.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa