Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Izzo afungukia kilichombadilisha kurap

Jumatano , 17th Mei , 2017

Izzo Biznez 'Jigga wa Mbeya' amejibu maswali ya mashabiki wanaohoji kubadilika kwa kufanya hip hop laini tofauti na zile harakati ambazo zilimtambulisha sokoni na kudai kwamba kazi za kundi ndizo zinamlazimu kwa sababu anashirikiana na mwanamke.

Leo akiwa Live kwenye Planet Bongo, Izzo amefunguka na kusema kuwa kazi za harakati ambazo ametoa peke yake zipo nyingi hazijatoka, lakini aliamua kubadilika kidogo kutokana na kuwa na 'project' ndani ya  kundi lake na Abella la  'The Amaizing' 

"Siyo kwamba nimeacha kuimba kama zamani lakini ukweli ni kwamba kuna Project ambazo tunafanya na Abella chini ya kundi letu la The Amaizing ndio maana nimelainisha mashairi  kido si mnajua nipo na mtoto wa kike! Mpaka sasa tayari tuna kazi tatu tulizoziachia kwa pamoja. Baada ya kumaliza project ya kundi nawaahidi nitachia kazi ya peke angu ya yule Izzo B mliyemzoea" Izzo alifunguka

Aidha Izzo akizungumzia suala la kupeleka muziki wake kimataifa amesema tayari ameshajipanga kwa ajili ya kuutoa muziki wake kwa kutayarisha kolabo na watu wa mataifa tofauti tofauti.

"Kwenda kimataifa siyo kazi ya kubip bip, ilihitaji kuwekeza na kujipanga kifedha, hilo niwahakikishie mashabiki zangu nimeshafanya kazi na wasanii wakubwa kutoka Kenya Uganda na mataifa mengine na muda siyo mrefu watazisikia naamini itakuwa njia nzuri ya kufika kimataifa"- Izzo Biznezz alimalizia.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke