Hemedy Suleiman na Irene Uwoya
Hemedy PHD amesema Irene Uwoya ni sehemu ya familia yake kwa sababu, wamekuwa wakisaidiana kuanzia ushauri, bata na kazi na mara ya mwisho alipewa Shilingi milioni moja na laki saba.
"Irene Uwoya ni mwanangu tunasaidiana vitu vingi sana vya kimaisha, hata nikimwambia nimekwama atanilinda kuanzia ushauri, pesa, bata na kazi kwahiyo tupo karibu na kwangu ni zaidi ya familia, mara ya mwisho ilikuwa mwezi wa 6 mwishoni nilimpigia simu akanipa kama moja ya saba hivi" amesema Hemedy PHD.
Mengine zaidi tazama kwenye video hapo chini.
