
msanii wa bongofleva kutoka mkoani Mororgoro Ice One
Ice One ambaye hivi sasa ametoa video yake mpya ya 'Niwe Nawe' ameongea na eNewz kuhusiana na hatua ya wasanii mbalimmbali akiwemo Profesa Jay ambaye hivi sasa ameshinda katika kura za maoni katika jimbo la Mikumi mkoani Mkoani Morogoro ili kuwania Ubunge kwa tiketi ya chama cha Demokrasia (CHADEMA).
