Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Harmorapa afunguka kuhusu mjengo wake mpya

Jumanne , 14th Mar , 2017

Msanii Harmorapa ambaye haishi kwa kiki mjini ameibuka na jambo jipya kwa kusema amenunuliwa nyumba kali ya kuishi maeneo ya mikocheni Jijini Dar es Salaam na uongozi wake unaomsimamia kazi zake.

Harmorapa

Chipukizi huyo alisema mpaka sasa hajafahamu kiasi kilichogharimu kutumiwa katika kununuliwa nyumba hiyo kwa kuwa yeye amepewa kama zawadi. 

“Yaah nimenunuliwa nyumba maeneno ya Mikocheni na boss wangu Irene Sabuka, nyumba ipo fresh inavyumba viwili na sitting room na bafu na kila kitu ambacho staa anastahili kumiliki na menejineti imeamua kufanya hivi ili niweze kuwa kwenye nyumba ya hadhi ya staa kama mimi”. Alisema Harmorapa

Kwa upande mwingine msanii huyo kupitia kipindi cha FNL ya EATV alibainisha baadhi ya mambo na kubainisha kuwa alianza kuchana tangu kitambo lakini muda wa kutoka ndiyo ulikuwa bado haujafikia kwake hivyo amewataka watu wampe -support kwakuwa yeye pia ni msanii kama wasanii wengine hapa Tanzania.

Harmorapa ndani ya FNL

“Harmorapa hatafuti kiki, harmorapa ni msanii kama wasanii wengine ambao wanaamini ni wasanii, nimeanza kufanya ‘game’ muda tu ila nafasi na muda ndiyo ulikuwa bado hujafika kwangu mimi kuonekana. Sasa hivi ndiyo ‘time’ yangu" - Alisema Harmorapa

Msanii huyo kwa sasa anatamba na video yake mpya inayoitwa 'Kiboko ya Mabishoo' 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji