Jumatano , 29th Nov , 2023

CEO wa Konde Gang Music Harmonize anasema hawezi kumjibu chochote meneja wa WCB, Yamoto Band na TMK Wanaume Family Mkubwa Fella baada ya kusema kuungana kwa Harmonize na Rayvanny bado hawamuwezi Diamond Platnumz.

Picha ya Harmonize

Zaidi tazama hape kwenye video Harmonize akizungumzia hilo.