Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna waimbaji Tanzania - Young Dee

Jumanne , 23rd Mei , 2017

Rapa Young Dee a.k.a Pakarasta mwenye hit song ya 'Bongo bahati mbaya' amekuwa na mtazamo tofauti na wenzake katika 'industry' ya muziki kwa kudai hakuna ushindani wowote kwa sasa japokuwa waimbaji wamekuwa ni wengi.

Young Dee ametoa kauli hiyo baada ya watu wengi kuwarushia lawama ma-producer kwa kusema wao ndiyo wanasababisha kufanya muziki wa sasa kutokuwa na ushindani katika 'game' na kusema kuwa  wasanii wengi wanaimba nyimbo ambazo hazina mashairi mazuri na kufanya nyimbo hizo kutofika mbali.

"Hamna ushindani kabisa sasa hivi kwenye muziki wa bongo fleva....Sasa hivi zinatoka nyimbo 20, unapita wimbo mmoja unasema kuna ushindani ?...Inatakiwa ukisema kwenye ushindani nyimbo 20 kama tano zinakimbizana ambazo unaweza kusema kuna ushindani...Watu wamerelax sana, muziki una watu wengi ila hakuna ushindani". Alisema Young Dee

Hata hivyo kauli hiyo ya Young Dee inafananishwa na ile aliyoitoa msanii  mkongwe,Makamua kwa kusema 'game' ya sasa imekuwa kama ‘buble gum’ kulingana na wanachokifanya wasanii wengi kwenye game.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa